โ›บ
๐Ÿ”— โš™๏ธ

Nakupenda from Benga Blues by Winyo

Tracklist
2.Nakupenda6:31
Lyrics

Upepo mkali sauti ya sema nipende leo nitakupenda pia
Sauti ya vuma yanifuta machozi amua uone nitakupenda pia
Kama kweli sitoshi tafuta uone twende nawe milima tutapenda pamoja

Ndani ya roho yangu bado imeandikwa kwa dhahabu tafuta uone ntakupenda pia

Nakupenda, nakutaka
Nikupende leo, utanipenda pia

Urembo wako na uzuri wako yanifanya vyema, niokowe baibe, niokowe baibe Sinahaja na wengine baibe nakutaka wewe, siogopi kamwe nakupenda mpenzi

Upepo ya vuma yanifuta machozi, kama upepo yaja inilitee baraka
Upepo yaa vuma upepo yanimaliza, kama kweli upepo mpenzi sikiza
Naipasha sauti, sauti jangwani, kama kweli upo mpenzi sika

Japo mvua itanyesha, inyeshe leo Nitakuviringa ndani ya mikono yangu Japo mvua itanyesha inyeshe leo, Itakuwa mapenzi yangu kwako

Credits
from Benga Blues, released September 6, 2012
Written and arranged by Winyo
LicenseAll rights reserved.
Tags
Recommendations